Salam alykum, mzigo mpya umeingia dukani #bilalbooks miongoni mwa vitabu vipya ni hivi vilivyoandikwa na Tijani Samawi na kutarjumiwa na Sheikh Msabaha S. Mapinda. Vitabu vingine vipo vikiwemo vya Maasumin #watukufu 14. Fika Dukani kwetu ujipatie nakala yako bure kabisa!Tupo mtaa wa Libya karibu na kituo cha mabasi ya mwendokasi