Uongozi wa Bilal Muslim Mission of Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa BMMT, Alhaj Hussein Karim, Makamu Mwenyekiti, Alhaj Abdul Wahid Mohammed, Mkuu wa Tabligh Alhaj Sheikh Msabaha Shabani na Afisa Mtendaji Mkuu wa Bilal, Br. Hafidhi Mansour walifanya ziara katika miji mitakatifu ya Kadhmiyya, Samarra, Karbala na Najaf. Wakati wa