Welcome to Bilal Muslim Mission of Tanzania (Charitable Organization)
CALL US NOW +255 745 111 150
DONATE NOW

Archive for March, 2022

BILAL YAADHIMISHA MAZAZI YA IMAM MAHDI (A.F.S)

Vituo vya Bilal kote nchini vimefanya maadhimisho ya kukumbuka mazazi ya Imam wa zama zetu, Mahdi (a.f.s) kwa namna ya kipekee ambapo mbali na kufanya majilis mbalimbali pia michezo, hususani mpira wa miguu ilitumika kuufiksha ujumbe wa Imam. Vituo mbalimbali vya Bilal hususani Bilal Pwani na Kusini pilianzisha ligi maalumu

Read More

MSKITI WA UDOE WAFUNGULIWA BAADA YA KUFANYIWA MABORESHO

Alhamdullillah, tumefanikiwa kufungua Msikiti wa Udoe baada ya kufanyiwa maboresho. Hafla ya ufunguzi wa msikiti iliambatana na maadhimisho ya kumbukumbu ya mazazi ya Imam Hussein, Hadhrat Abbas na Imam Ali Zainul Abidiina (a) waliozaliwa katika mwezi kama huu (Shaaban) Mwenyekiti wa Africa Federation (AFED) Alhajj Shabiri Najafi ndiye aliyekuwa mgeni

Read More